TATA MKURIA
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 290
- 392
Wataalam wa IT habari!
Wakuu nna ka pc kangu Panasonic CF W5, nilimuona jamaa akaniwekea windows 10, 32bit. Na kanapiga kaz zang kama kawaida kwani sina matumizi makubwa zaidi ya documents zangu. Ishu inayozingua nikiingia net pc inacheza youtube video kwa kukwama kwama kama ina scratch, ingawa net ipo poa kabisa. Nifanyeje wataalam.
Wakuu nna ka pc kangu Panasonic CF W5, nilimuona jamaa akaniwekea windows 10, 32bit. Na kanapiga kaz zang kama kawaida kwani sina matumizi makubwa zaidi ya documents zangu. Ishu inayozingua nikiingia net pc inacheza youtube video kwa kukwama kwama kama ina scratch, ingawa net ipo poa kabisa. Nifanyeje wataalam.