Msaada yahusu maombi ya uhamisho

Msaada yahusu maombi ya uhamisho

IBRAHIM jose

Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
8
Reaction score
0
Wakuu naombeni msaada hapa,ninataka kuomba uhamisho kutoka chuo cha private kwenda cha government, kwa diploma, inawezekana?? Na pia nikishaomba uhamisho nitakwenda kuripoti chuo nilichopangiwa au ninakaa nyumbani nikisubiri uhamisho??.naombeni nisaidieni hapa wakuu,
 
Back
Top Bottom