Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,365
Kama Kichwa Cha Habari Kisemavyo, Nina Tatizo Na Hii Kitu Siku Ya Tatu Leo WhatsApp Inakataa Kupokea Jumbe,
Nimejaribu Kucheck Tatizo La Internet Liko Poa Ila Kuna Mtu Kaniambia Kuwa Imekuwa Connected Na WI-Fi Kwa Iyo Mobile Data Aikubali Kufanya Kazi Naombeni Msaada Wenu Wanajamvi.
Shida Nyengine Ni Google Voice Hii Kitu Ni Inaniboa Mpka Inaniumiza Kichwa Yaani Nashindwa Kufanya Vitu Kwa Amani Inaniingilia Kila Sekunde,Mwenye Uelewa Na Ili Pia Naomba Msaada Wako.
Nimejaribu Kucheck Tatizo La Internet Liko Poa Ila Kuna Mtu Kaniambia Kuwa Imekuwa Connected Na WI-Fi Kwa Iyo Mobile Data Aikubali Kufanya Kazi Naombeni Msaada Wenu Wanajamvi.
Shida Nyengine Ni Google Voice Hii Kitu Ni Inaniboa Mpka Inaniumiza Kichwa Yaani Nashindwa Kufanya Vitu Kwa Amani Inaniingilia Kila Sekunde,Mwenye Uelewa Na Ili Pia Naomba Msaada Wako.