Kama una download kupitia duka la Google sahau kuipata.Habar za majukumu wanajamvi! Msaada jaman kwenye tuta, na download whatsapp gb kwenye cm yangu inagoma kwa anayejua tatizo nn naomba anisaidie....natumia samsung A03s.....santen nawasilisha
Ingia google kisha itafute ukishaipata itakuhitj udownload apk hapo utakua umeipataKama una download kupitia duka la Google sahau kuipata.