Msaada wenu wakuu

Msaada wenu wakuu

baby v

Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
41
Reaction score
24
Mm ninamahusiano na mtu kwa miaka kadhaa sasa!! Kuna wakat alinidukua watsap nikajua nikamtoa!!! Saiv nikiwasiliana na mtu kwa normal call. Lazima anakuja nifikishia ujumbe au kuongea maneno niliodiscuss kwenye conversation yangu!! Na kuna kipindi alishaniambia i paid kukufuatilia!! Je inawezekana anamtumia mtu wa tigo kudukua maongez yangu au imekaaje hii
 
Mm ninamahusiano na mtu kwa miaka kadhaa sasa!! Kuna wakat alinidukua watsap nikajua nikamtoa!!! Saiv nikiwasiliana na mtu kwa normal call. Lazima anakuja nifikishia ujumbe au kuongea maneno niliodiscuss kwenye conversation yangu!! Na kuna kipindi alishaniambia i paid kukufuatilia!! Je inawezekana anamtumia mtu wa tigo kudukua maongez yangu au imekaaje hii
Ndiyo inawezekana na ni simple tu ila mpaka upate watu wenye access za kufanya huo udukuzi.
Kama na ww unataka kumdukua nitafte, i will divert all his calls to you without him notice it.
 
Mm ninamahusiano na mtu kwa miaka kadhaa sasa!! Kuna wakat alinidukua watsap nikajua nikamtoa!!! Saiv nikiwasiliana na mtu kwa normal call. Lazima anakuja nifikishia ujumbe au kuongea maneno niliodiscuss kwenye conversation yangu!! Na kuna kipindi alishaniambia i paid kukufuatilia!! Je inawezekana anamtumia mtu wa tigo kudukua maongez yangu au imekaaje hii
anamtumia wa voda

ila acha umalaya
 
Tatizo sio umalaya!!! Nakosa privacy hata mambo ya familia
Unatumia simu ya smartphone au button? Kama smartphone au button restore simu yako au nenda kwa fundi mpe aiflashi. Baada ya hapo usirhusu kumpa simu yako au nunua iPhone kabisa ila usimpe simu yako. Hapo itasaidia
 
Unatumia simu ya smartphone au button?
Unatumia simu ya smartphone au button? Kama smartphone au button restore simu yako au nenda kwa fundi umpe iflash. Baada ya hapo usirhusu kumpa simu yako au nunua iPhone kabisa ila usimpe simu yako. Hapo itasaidia
Natumia iphone!!!
 
Angalia kama kuna app ambazo huzielewi kwenye simu yako..
 
Natumia iphone!!!
Kuna application kaweka kwenye simu yako inayodukua mawasiliano na hizi application huwa ni ngumu kuziona sababu huwa zinafichwa na ukizitafuta kwenye setting huwezi kuziona maana huchukua majina ya default app zilizomo kwenye simu. Utakuta imeandikwa wifi, bluetooth au majina mengine kwahiyo ni vigumu kugundua. Hapo inabidi urestore simu yako kwa iTune yaani uanze upya. Kuna tutorial nyingi youtube zinazoelezea Jinsi ya kurestore simu ya iPhone. Ila kama umesahau email na password za iCloud usifanye hivyo maana hutaweza kuitumia tena simu yako. Kama utashindwa kurestore hakikisha mawasiliano yako ya muhimu unayafanyia kwenye simu ndogo ya button tena hizi ambazo zinatumia pin ndogo au kubwa.
Pole sana. Ila mwambie shemeji aache wivu.
 
Kuna application kaweka kwenye simu yako inayodukua mawasiliano na hizi application huwa ni ngumu kuziona sababu huwa zinafichwa na ukizitafuta kwenye setting huwezi kuziona maana huchukua majina ya default app zilizomo kwenye simu. Utakuta imeandikwa wifi, bluetooth au majina mengine kwahiyo ni vigumu kugundua. Hapo inabidi urestore simu yako kwa iTune yaani uanze upya. Kuna tutorial nyingi youtube zinazoelezea Jinsi ya kurestore simu ya iPhone. Ila kama umesahau email na password za iCloud usifanye hivyo maana hutaweza kuitumia tena simu yako. Kama utashindwa kurestore hakikisha mawasiliano yako ya muhimu unayafanyia kwenye simu ndogo ya button tena hizi ambazo zinatumia pin ndogo au kubwa.
Pole sana. Ila mwambie shemeji aache wivu.
Thanxxx!! Nakumbuka nitafanya hivyo!!!!!
 
Mm ninamahusiano na mtu kwa miaka kadhaa sasa!! Kuna wakat alinidukua watsap nikajua nikamtoa!!! Saiv nikiwasiliana na mtu kwa normal call. Lazima anakuja nifikishia ujumbe au kuongea maneno niliodiscuss kwenye conversation yangu!! Na kuna kipindi alishaniambia i paid kukufuatilia!! Je inawezekana anamtumia mtu wa tigo kudukua maongez yangu au imekaaje hii
Mkuu, nimerudia mara tisa kusoma huu uzi lakini sijaelewa swali lako likowapi ama nini hasa unataka usahuriwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom