Oa, acha uasheratiHivi mwanamke mpenzi wako ambaye bado ujawai kukutana naye kimapenzi anapokuandikia SMS kama hiyo hapo chini ya mwisho kabisa anakua anamaanisha nini !?
Kwa wenye uzoefu naombeni ufafanuzi zaidi...View attachment 990760
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikataa kuna wanawake wengine usema ahaaa mm nilijua tunakuja kupiga story tu ungeniambia nikajua nakuja kufanya niniHapo hawezi kuja kama anajua anaendea kufanywa...
Siku nyingine muite kawaida akija ndiyo fanyeni yenu...
Cc: mahondaw
Sasa kama aniuzii kwa nini asinipe kisha akaniambia nina shida fulani na mimi nikamsaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu awajui kusoma na kuandika ila wana pesa chafu mbaya kaa mbali wewe elimu na pesa ni vitu viwili tofauti labda wewe unategemea pato la mshahara tu ulipoajiliwaL na R ni tatizooo sasa sijui Pesaa ya kugharamiaa hiyo nyapuuu utatoa wapii....
Sent using Jamii Forums mobile app
nitumie namba yake fasta then nitakupa ushauri nin cha kufanyaHivi mwanamke mpenzi wako ambaye bado ujawai kukutana naye kimapenzi anapokuandikia SMS kama hiyo hapo chini ya mwisho kabisa anakua anamaanisha nini !?
Kwa wenye uzoefu naombeni ufafanuzi zaidi...View attachment 990760
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahaha Hatari sana AiseeMimi nilimuuliza Vestina.
"Kwahiyo shilingi ngapi?"
Akajibu "20,000"
Nikamuuliza "Kiasi hicho utanipa nini na nini?"
Akaniuliza "We unataka nini?"
Nikamuuliza "Ndo hutaki kuniambia hiko kiasi nitapata nini na nini?"
Akajibu "Tutajua huko huko"
Nikamwambia "Kwamba nikuahidi kukupa pesa huku haunipi ahadi ya nitapata nini? Hivi haya maisha bado yapo?"
Akaniambia "Nitakupa kila unachotaka, tutalala usiku mzima"
Nikajibu "Yaani 20,000 ili tu unipe ninachotaka halafu usiku mzima!? Kama siku mbili mfululizo mi nakupa 15"
Akauliza "Mbona unaongea kama unanunua?"
Nikajibu kwa mtindo wa swali "Kwani si ni wewe ndiye uliyetaka upewe hela kwanza?"
Akasema "Mi ni mpenzi wako unanihudumia"
Nikasema "Na mi ni mpenzi wako pia nihudumie"
Mtu akihama akaanza kukuuzia na wewe nunua braza.
Sawa SawaHizo msg zako umejiandikia na kujijibu mwenyewe. Uandishi wako wa vidudu umekuchoma.
Acha utoto jifunze kuandika.
ha ha ha ha Ushakula chenga mala ngapiHakuna mwanaume wa tanzania ane weza fanya hivyo umle dada harfu akuombe hela umpe utakula chenga mpaka tena ukute show yenyewe alikupa mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikataa kuna wanawake wengine usema ahaaa mm nilijua tunakuja kupiga story tu ungeniambia nikajua nakuja kufanya nini
Sent using Jamii Forums mobile app