Msaada wenu wakubwa

L na R ni tatizooo sasa sijui Pesaa ya kugharamiaa hiyo nyapuuu utatoa wapii....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu awajui kusoma na kuandika ila wana pesa chafu mbaya kaa mbali wewe elimu na pesa ni vitu viwili tofauti labda wewe unategemea pato la mshahara tu ulipoajiliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahaha Hatari sana Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…