Msaada wenu tafadhali wanaJF, maji yamezidi unga

Habari zenu ndugu wana Jf,

Ndugu zangu nimepata na matatizo ambayo yanahitaji kuyatatua kwa uharaka,ninahitaji Mkopo wa Milioni 1.

Mkopo nitarejesha ndani ya miezi 2 kwa awamu 2,nitafurahi kama nitapata kwa riba ya 10%-15% kwa mwezi. Dhamana niliyonayo ni mshahara wangu wa kila mwezi.
Kama maji yamezidi Unga basi wewe kologa uwe Uji. Usilazimishe uwe Ugali Haitawezekana.
 
omba kazini kwako,ukiona unasita kuomba kazini kwako,ujue ..............................

Omba kazini kwako,ukiona unasita kuomba kazini kwako, ujue
Mkuu nipo humu Jf kwa miaka 9 sasa hata Siku na 1 sikuwahi kutegemea kama nitakuja Ku bag humu kuazima hela but matatizo hayana mipaka na maisha milima na mabonde.hope ninefafanua zaidi lakini mambo ya mitandao ina limit zake.
 
Takukuru wanakamata wale ambao pesa zao zina ushirirkina, yaani hata uchakarike kwa sarakasi gani deni hulipi na riba inazidi kubwa. Kama habari ya juzi ya yule mstaafu, alikopa 10M jamaa wakachukua 25M.
uaithubutu kuchukua kadi
wakikufumania utageuzwa mdaiwa
 
Samahani mkuu,wewe ndo yule Mwalimu aliyekamatwa na mwanafunzi Jana Kijiji X?

Mwisho kama unamshahara nenda bank kwa mikopo wenye ribs nafuuu,mfano 1M kwa miezi sita riba yake ni 100,000 hadi 140,000

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Pesa gani tena jaman

1616568755919.png
 
Kuna member humu natamani nimtag akusaidie, sema atajua tu mie ndo nimekulengesha kwake.
Angekupa bila riba na huenda ungerudisha nusu tu.
Anasaidia sana watu
Kwakuwa alikusaidia wewe unadhani inasaidia na wanaume?

Wewe chura yako aliiweka kama dhamana...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom