jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,412
- 1,172
Kuna member humu natamani nimtag akusaidie, sema atajua tu mie ndo nimekulengesha kwake.
Angekupa bila riba na huenda ungerudisha nusu tu.
Anasaidia sana watu
Msaidie hata PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna member humu natamani nimtag akusaidie, sema atajua tu mie ndo nimekulengesha kwake.
Angekupa bila riba na huenda ungerudisha nusu tu.
Anasaidia sana watu
Hajataka.Msaidie hata PM
KweliWacha maneno yako wewe..
Kama maji yamezidi Unga basi wewe kologa uwe Uji. Usilazimishe uwe Ugali Haitawezekana.Habari zenu ndugu wana Jf,
Ndugu zangu nimepata na matatizo ambayo yanahitaji kuyatatua kwa uharaka,ninahitaji Mkopo wa Milioni 1.
Mkopo nitarejesha ndani ya miezi 2 kwa awamu 2,nitafurahi kama nitapata kwa riba ya 10%-15% kwa mwezi. Dhamana niliyonayo ni mshahara wangu wa kila mwezi.
Sasa unafanya nini mjini hapaKweli
Hata sijui nipe ishuuu ili nisijekopa humu ndani😂😂Sasa unafanya nini mjini hapa
Njooo fasta sasa dm tuangalie namna... Inashangaza hata wewe umekosa sponsa hadi leoHata sijui nipe ishuuu ili nisijekopa humu ndani
omba kazini kwako,ukiona unasita kuomba kazini kwako,ujue ..............................
Mkuu nipo humu Jf kwa miaka 9 sasa hata Siku na 1 sikuwahi kutegemea kama nitakuja Ku bag humu kuazima hela but matatizo hayana mipaka na maisha milima na mabonde.hope ninefafanua zaidi lakini mambo ya mitandao ina limit zake.Omba kazini kwako,ukiona unasita kuomba kazini kwako, ujue
Hajataka.
Nisije nikaambiwa nina shobo
Tayari kuleMkuu nime Ku PM
Sio mbaya na mimi nikadandia neemaTayari kule
HahahahahSio mbaya na mimi nikadandia neema
uaithubutu kuchukua kadiTakukuru wanakamata wale ambao pesa zao zina ushirirkina, yaani hata uchakarike kwa sarakasi gani deni hulipi na riba inazidi kubwa. Kama habari ya juzi ya yule mstaafu, alikopa 10M jamaa wakachukua 25M.
Angeita wanaume wenzie kwani wanawake msaada wenu tunaujuaPesa tena jamani. Haya msaaada huku unahitajika haraka
Vielelezo vyote ninavyo kuwa nahitaji back upHahahahah
Mbona hivi lakini jama....hahahaha
Hakuna Siri kabisaSamahani mkuu,wewe ndo yule Mwalimu aliyekamatwa na mwanafunzi Jana Kijiji X?
Mwisho kama unamshahara nenda bank kwa mikopo wenye ribs nafuuu,mfano 1M kwa miezi sita riba yake ni 100,000 hadi 140,000
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sawa, nimekuelewaVielelezo vyote ninavyo kuwa nahitaji back up
Kwakuwa alikusaidia wewe unadhani inasaidia na wanaume?Kuna member humu natamani nimtag akusaidie, sema atajua tu mie ndo nimekulengesha kwake.
Angekupa bila riba na huenda ungerudisha nusu tu.
Anasaidia sana watu