Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
Hahahahahaahahhahahah.....khaaa!!!!Kwakuwa alikusaidia wewe unadhani inasaidia na wanaume?
Wewe chura yako aliiweka kama dhamana...
Shemeji jamani.
Mie alinisaidia laki 8 na ilikuwa nyuma ya keyboard.
Hata chura hakuwahi kuiona.
Au aliambiwa itakuwa....
Afu mtu wa dini....sidhani kama chura anaitumia kama wewe.