Ommy King
Member
- Dec 4, 2016
- 5
- 1
jamani naombeni msaada wenu kuhusu tatizo langu la uume kuwa mkubwa kila siku iendayo kwa Mungu.Hali hii inatokea wakati sijatumia dawa yoyote ya kukuza maumbile.Imefika wakati sina raha aisee,hivyo naombeni ushauri wenu wa kitabibu na kimawazo nini nifanye ili uume wangu usiendelee kuwa mkubwa zaidi,,,,nawasilisha!