msaada wenu jamii forum nauhitaji sana.

msaada wenu jamii forum nauhitaji sana.

Majuto fox

Member
Joined
Mar 5, 2018
Posts
12
Reaction score
1
mimi nikijana mwenye umri wa miaka 26 nko katika chuo kikuu cha SUA hapa morogoro nasoma BSc. with education geography and biology. Niko mwaka wa tatu natarajia kumaliza mwaka huu shahada yangu ya kwanza.
NI matumaini yangu kutafta nafasi ya kufundisha katika shule za private. Ningependa kufundisha somo la biology either full time katika shule yoyote ya private. Naamini humu JF kuna wadau tofauti tofauti wenye kujua wap naweza anzia ili kufanya kazi amabao naipenda ya kufundisha wanafunz wa o'level and A'level .

Nitangulize shukrani kwa wadau wote wa JF
 
Ipo maeneo ya samaki samaki bima ya kihonda
 
Sawa mkuu njoo hapa au nenda jabaarira nao wako ecoo
 
Back
Top Bottom