Msaada; wazoefu wa TV (flat screen) naombeni msaada

Msaada; wazoefu wa TV (flat screen) naombeni msaada

Methyl phenol

Senior Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
184
Reaction score
282
Kama heading inavyojieleza nimechukua tv flat screen aina ya star X 32 inches few monthes ago ni mpya full box na haina shda yeyote mpaka sasa

Shda iliyokuja kujitokeza n kwamba juzi kati apa nimechukua sound system nmekuja ku connect tv na subwoofer ngoma hamna nkanunua nyaya zngne still zkagoma

Nkarudi dukan kwa jamaa nkaulizia coz warranty na kila kitu nnacho

Jamaa kanambia version mpya za star x hazina direct connection na subwoofer unless utumie king’amuzi kama source

Wakuu nlikua naomba kama naeza pata mautundu may be kuna nyaya rather than izo two in one, au io two in two ku connect au device nyengne ambayo naeza tumia

Loged out
 
Hiyo Tv huko nyuma karibu na pa kuchomekea flash hamna tundu lingine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom