Msaada waungwana,hata wa kimawazo.

Msaada waungwana,hata wa kimawazo.

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,193
Reaction score
29,751
Ni binti wa kimasikini hatamani tena kuishi.
Anashindwa kuendelea na masomo japo amechaguliwa computer science UDOM kwa level ya diploma.
Alisoma CBG na alipata div III ana D moja kitu kilichopelekea asiombe level ya bachelor kwani hana D ya pili
Sasa amepata diploma UDOM ada 900,000,na pia nursing Sengerema ada 200,000 hii kubwa sn.

Tunaomba mawazo tufanye nini watu wa Mungu?Familia haijiwezi kabisa na huyu binti, ANALIA TU. Yani hajui afanye nini? Me ninajaribu kumtafuta mbunge wake ni wa huko Singida.

Kama kuna mtu atataka kuongea naye basi nitamuunganisha naye .
Nitalileta jimbo hapa mnisaidie mbunge wake ni nani?Msaidieni mtoto wa kike huyu please.
Asanteni.
 
Dah mkuu inauma saana yaan hapo watu wanakuaga wazito saana kuchangia ila ingekuwa ishu ya sherehe pesa ingepatikna kikubwa asilie amuombe mungu saana kwan mwenye haki hajawahi kuachwa mbele ya mungu
 
Ni binti wa kimasikini hatamani tena kuishi.
Anashindwa kuendelea na masomo japo amechaguliwa computer science UDOM kwa level ya diploma.
Alisoma CBG na alipata div III ana D moja kitu kilichopelekea asiombe level ya bachelor kwani hana D ya pili
Sasa amepata diploma UDOM ada 900,000,na pia nursing Sengerema ada 200,000 hii kubwa sn.
Tunaomba mawazo tufanye nini watu wa Mungu?Familia haijiwezi kabisa kabisa ya huyu binti, ANALIA TU.Yani hajui afanye nini?Me nina jaribu kumtafuta mbunge wake ni wa huko Singida.
Kama kuna mtu atataka kuingea naye basi nitamuunganisha naye .
Nitalileta jimbo hapa mnisaidie mbunge wake ni nani?Msaidieni mtoto wa kike huyu please.
Asanteni.
Kuna shirika linaitwa VST japo mshahara wake niwakipuuzi anaweza kuomba hapo afundishe fundishe hata miaka miwili au mmoja tu apate ada ya akasome dip ya ualimu
 
Dah mkuu inauma saana yaan hapo watu wanakuaga wazito saana kuchangia ila ingekuwa ishu ya sherehe pesa ingepatikna kikubwa asilie amuombe mungu saana kwan mwenye haki hajawahi kuachwa mbele ya mungu
Ni kweli kaka
 
Kuna shirika linaitwa VST japo mshahara wake niwakipuuzi anaweza kuomba hapo afundishe fundishe hata miaka miwili au mmoja tu apate ada ya akasome dip ya ualimu
Asante Mkuu kwa ushauri,namna ya kuwapata plz.Maana huyo binti yupo Singida kwa ss
 
Jimbo la Mkalama mbunge wake ni nani waungwana?
Nime-google haijaniletea
 
M namshaurr aende kwenye mashirika kama mission za makanisa ajieleze watamxaidia,,,n her mtembea bure kulko mkaa bureeee
 
Hapa tu dunia ndo inakuwaga sio mahala salama hata siku moja

Binti ana loose hope na maisha ya mbele kwa sababu kakosa pesa ambayo ni kidogo kama watu wataamua aisee hii inauma sana tena sana

I wish hata humu ndani tuonge vizur tumchangie binti wa watu akasome walau awe na pa kuanzia maisha haya
 
Ingekuwa ni jambo la busara kumsaidia kuvi-access vyombo vya habari vinavyowafikia wengi kama magazeti/Tv wengi tutamuona na atasaidika kwa haraka na utaratibu mzuri. Wengi wamesaidika kwa mtindo huo. Kwa humu inawezekana ila si rahisi sana mkuu but kwa hakika Watz tunao udugu na ni watoaji.
 
Ni binti wa kimasikini hatamani tena kuishi.
Anashindwa kuendelea na masomo japo amechaguliwa computer science UDOM kwa level ya diploma.
Alisoma CBG na alipata div III ana D moja kitu kilichopelekea asiombe level ya bachelor kwani hana D ya pili
Sasa amepata diploma UDOM ada 900,000,na pia nursing Sengerema ada 200,000 hii kubwa sn.

Tunaomba mawazo tufanye nini watu wa Mungu?Familia haijiwezi kabisa na huyu binti, ANALIA TU. Yani hajui afanye nini? Me ninajaribu kumtafuta mbunge wake ni wa huko Singida.

Kama kuna mtu atataka kuongea naye basi nitamuunganisha naye .
Nitalileta jimbo hapa mnisaidie mbunge wake ni nani?Msaidieni mtoto wa kike huyu please.
Asanteni.
Kama amedahiliwa nursing chuo chochote juzi juzi hapa niliona tangazo la wizara ya afya wanatoa ufadhili kwa level ya certificate. Mwisho wa maombi ni kesho tarehe 11/11/2016.
 
Kama amedahiliwa nursing chuo chochote juzi juzi hapa niliona tangazo la wizara ya afya wanatoa ufadhili kwa level ya certificate. Mwisho wa maombi ni kesho tarehe 11/11/2016.
Mkuu asante,ndo kaniambia leo.Muda ndo hivo si rafiki tena ktk hili,ningemhangaikia kwa miongozo yako.
Anasikitisha kwa kweli.
Me nipo tayari kumsaidia chakula akiwa chuo kama angepata msaada wa ada
 
Mkuu asante,ndo kaniambia leo.Muda ndo hivo si rafiki tena ktk hili,ningemhangaikia kwa miongozo yako.
Anasikitisha kwa kweli.
Me nipo tayari kumsaidia chakula akiwa chuo kama angepata msaada wa ada
Pole sana mkuu na pole kwa binti yetu. Asikate tamaa, mambo mazuri zaidi yapo mbele yake kuliko anavyofikiria yeye. Awe na moyo mkuu lakini akiyaweka matumaini yake kwa Mwenyezi Mungu. Mpe matumaini pia wewe uliye karibu naye
 
Pole sana mkuu na pole kwa binti yetu. Asikate tamaa, mambo mazuri zaidi yapo mbele yake kuliko anavyofikiria yeye. Awe na moyo mkuu lakini akiyaweka matumaini yake kwa Mwenyezi Mungu. Mpe matumaini pia wewe uliye karibu naye
Najitahidi mkuu,asante kwa yote
 
Back
Top Bottom