Depression!! uwhhhhf , msongo wa mawazo, sononeko la moyo , anguko la moyo! Tatizo ambalo sasa linatukumba vijana wa umri wa kati ,,
Sabb zinazochangia
1 ugumu wa maisha
2 kusalitiwa ( mapenzi , kimaisha , kutapeliwa , ugomvi usioisha hasa wa mapenzi .
Kuhangaika kupata mtoto ( kutokuzaa )
4 upungufu wa nguvu za kiume
5 kuhangaika kutafuta kazi au kufukuzwa kazi.
6 kuondokewa ( kufiwa na mke au mtu wa karibu sana ) tegemeo , au tegemezi
7 kupata magonjwa yasiotibika au yanatosumbua kwa kipindi kirefu,, si haya tu na mengine mengine , lkn haya yanweza kuwa chanzo cha sononeko la moyo, ambalo litanfanya muhusika kupenda kufanya yafuatayo
(a) kutokujipenda mwenyewe ;
(b) mwili kudhoofu kwa kukosa lishe , kwa kutopenda kula.
(c)kujitenga na kuwa na huzuni wakati wote
( d) tabia kubadilika na kuanza kufanya mambo ambayo hakuwahi kutafanya , eg ulevi wa kupindukia , smoking
(e) kuwa mkali , au mpole, kwa jambo dogo au la kuudhi yeye kupuuzia, na nk
Madhara yake
1 kupoteza kumbukumbu
2 ukichaa usiotarajiwa
3 vifo visivyotarajiwa ( kijiua kwa namna yeyote ya kuogofya ,poison , accident. Hang'ing ,
4 au yeye mwenyewe kuuwa .
Ushauri
;; usikae na tatizo ndani ya ubongo wako ( kichwa) jieleze upate ushauri , express uaself , . Thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.