MSAADA: Wataalamu wa IT au mwenye kuzifahamu external hard disk

askarikambi

JF-Expert Member
Dec 22, 2013
246
263
Nina external hard disk ya "Transcend" ambayo nimehifadhi vitu vyangu vingi na muhimu sana.
Sasa sijui nini kimetokea, tangu wiki iliyopita, kila nikiiweka kwenye computer(desktop au laptop) na kwenye TV, haisomi kabisa japo taa yake inawaka kuonyesha kuwa iko connected.
Mwenye utaalamu anisaidie kipi nifanye ili isome kwenye computer niweze kupata material niliyohifadhi huko.
Msaada tafadhali. Thanks.
IMG_20181031_102058.jpeg
 
Kuna uwezekano plate haizunguki au actuator haigusi vizuri plater, haukuiangusha?
 
Kuna uwezekano plate haizunguki au actuator haigusi vizuri plater, haukuiangusha?
Sina uhakika kama imeangushwa au la. Kwa kuwa wapo wanaoniazima kuangalia movie.
Na kama tatizo ni hill ulilosema, inaweza kupona?
 
Sina uhakika kama imeangushwa au la. Kwa kuwa wapo wanaoniazima kuangalia movie.
Na kama tatizo ni hill ulilosema, inaweza kupona?
Jaribu kwanza kuweka disk kwenye Kompyuta yenye ubuntu uangalie kama inasoma.

Lakini pia jaribu kutumia usb cable nyingine ili kujua inakuwaje.
 
uwezekano mkubwa hapa ni kuwa imekuwa na tatizo la heads azisomi au platters zake azizunguki, pale akiba jengo la redcross chini kuna jamaa wanaweza recover data za hiyo hard disk yako, temberea pale watakusaidia
 
Huwezi jua tatizl kwa kuangalia hapo tu..external ni hard disk ya pemben...external ni jina tu point yetu sisi ni hyo Hard disk Je ni nzima au ishakufa?

Ili kujua n nzima au imekufa unatakiwa ufumua external yako uweke kila kitu kwake toa cover hilo toa hard disk kama hard disk ndani kisha najua una laptop bas chukua hyo hard disk ichomeke ndani ya laptop yako kisha washa mashine fanya kama unapga window nenda hadi mahali pa kugawa Partition ukifika pale angalia hard disk yakl inaonekana? kama inaonekana jua hard disk nzima...Kama haionekan brooo angalia jinsi ya kupata data zako. kwa njia za kitaalamu.
 
Ahsante kwa ushauri. Japo ni mambo ya kitaalamu na kiufundi, lakini yamenipa matumaini ya kuokoa material yangu. Ushauri nitaufanyia kazi ikiwa ni pamoja na kwenda kwa hao jamaa maeneo ya Akiba.
 
Data muhimu ni lazima uzifanyie backup kama ni ndogo unaweza kubackup online kwa dropbox au gdrive or similar. Maana hizi hardrive zinaweza kufa wakati wowote bila sababu.
 
Back
Top Bottom