Ninahitaji kununua dish'Eurostar inch 6' ili kufurahia huduma ya digital bila malipo, je linafaa au kuna aina nyingine nzur zaid? Pia niangalie vitu gan bora kwenye receiver na lnb?
Ni zuri, ila kuna feki hayakawii kubanduka rangi na kupata kutu, ukipata la Gulf Star itakuwa vizuri zaidi, Chamsingi zingatia Ubora. Pia ya futi 6 kuna baadhi ya Channel zinasumbua kama TBC, CH 10 pamoja na Star TV kwa baadhi ya Maeneo sijui wewe upo Wapi. Lakini ukitaka ufurahie ulimwengu wa FTA ukipata Dish la Futi 8 (hasa la Nyavu) na kuendelea, utapenda. Kuhusu LNB, nunua C-Band moja yenye 777 ni nzuri au 888 na 999 Gulf star pamoja na KU Band 2 kama unaitaji Chanel Nyingi Zaidi. Kuhusu Istallation, Tafuta Fundi. Kuhusu Receiver wengi tunatumia MediaCom 930 MPG2, ila Kuna za kisasa ambazo zinauwezo wa kufungua Scrambled Channel, tafuta Arisat Ar600 na Ar1000 MPG4 lakini si rahisi kuzipata, ukishindwa tafuta receiver yoyote hata Strong lakini iwe MPG4 ni vizuri ukapata maelezo kwa Wauzaji kwani nyingine husumbua istallation zake.
Hakuna dish la inch 6 bali kuna dish la futi 6.Kama ukilibahatisha hata hilo la eurostar orijino la futi sita litazidaka hizo channel ulizoambiwa zinasumbua,pia risiva tafuta WIZ TECH-999 ina nguvu hasa kwa hizo tbc zinazozingua hata ikiwa na signal quality 2au3 inanasa pia inafungua channeli za SABC
Thanx kwa ushaur!Nipo Dodoma, nimetafuta ungo wa nyavu cjapata. Je kwa mikoa mingine gulf star unapatikana kwa sh.ngapi? Nitalijuaje dish fek?
Thanx kwa ushaur!Nipo Dodoma, nimetafuta ungo wa nyavu cjapata. Je kwa mikoa mingine gulf star unapatikana kwa sh.ngapi? Nitalijuaje dish fek?
Kama upo Dodoma nenda City boys kama sijakosea pale Independecy kwenye mzunguko karibu na soko la Majengo, kama utaamua kununua wa kawida nunua wa futi 8 na kama wa nyavu hakikisha nyavu zake ni za alminium na zile chuma za kubebea ziwe za alminium yani lile Dish na nguzo zake zinazoshika ungo ni za chuma, hapo hutapata tatizo la channel kukatikakatika (signal weak) kwanza Dodoma hamna milima ni tambarare.
Ninahitaji kununua dish'Eurostar inch 6' ili kufurahia huduma ya digital bila malipo, je linafaa au kuna aina nyingine nzur zaid? Pia niangalie vitu gan bora kwenye receiver na lnb?
umenifurahisha hapo kwenye inch 6...kama sahani
Ninahitaji kununua dish'Eurostar inch 6' ili kufurahia huduma ya digital bila malipo, je linafaa au kuna aina nyingine nzur zaid? Pia niangalie vitu gan bora kwenye receiver na lnb?
Safi sana mkuu. Huyo muanzisha uzi yuko sahihi wala hajakosea.Mkuu angalia vizuri ametumia single quote maanake ni futi (6') angetumia double quote ingemaanisha inchi (6").
Hakuna dish la inch 6 bali kuna dish la futi 6.Kama ukilibahatisha hata hilo la eurostar orijino la futi sita litazidaka hizo channel ulizoambiwa zinasumbua,pia risiva tafuta WIZ TECH-999 ina nguvu hasa kwa hizo tbc zinazozingua hata ikiwa na signal quality 2au3 inanasa pia inafungua channeli za SABC
Mkuu nishati inayotoka kwenye geostationary satellite ya umbali wa maili zaidi ya 23,000(elfu ishirini na tatu) kutoka aridhini ni ndogo sana hiko in term of Microwatts/Microvolts, hivyo kusema zinaweza kupenyeza kwenye matundu kutokana ukubwa wa nishati, hiyo si kweli mkuu! Ungesema matundu yasiwe chini ya kiwango cha wavelengh ya KU-BAND ningekuelewa, and that has nothing to do with Power generated by satellite transponders. CHEERS.Safi sana mkuu. Huyo muanzisha uzi yuko sahihi wala hajakosea. Kama ana mpango wa kunasa channels za Ku-band kwa kutumia dish la wavu,ahakikishe matundu yake hayazidi 4mm, vinginevyo signal za Ku-Band high-band zitasumbua unasaji wake maana sehemu kubwa zitakuwa zinapenya kwenye hayo matundu kwa ajili nishati kubwa iliyoko kwenye hizo signal; hivyo zinakuwa na uwezo mkubwa wa kupenya.