Msaada: wataalam wa computer

Msaada: wataalam wa computer

Kim Il Kwon

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2015
Posts
1,219
Reaction score
1,036
salaam wakuu. nahitaji msaada nini nifanye ili pc yangu iweze kutunza moto. modeli ya pc husika ni lenovo thinkpad L412
Leo ni siku ya nne najaribu kuichaji inagoma. iniandikia ujumbe huu, "pluged in, not charging"
lakini pia natafuta screen ya pc yangu hii.
 
salaam wakuu. nahitaji msaada nini nifanye ili pc yangu iweze kutunza moto. modeli ya pc husika ni lenovo thinkpad L412
Leo ni siku ya nne najaribu kuichaji inagoma. iniandikia ujumbe huu, "pluged in, not charging"
lakini pia natafuta screen ya pc yangu hii.
tatizo hapo ni battery au adapter.. kama upo dar ni-pm ninacho hicho kioo cha lenovo l412
 
Kwanza pima adopter yako inatoa moto unaotakiwa?kama inatoa angalia ukichomeka charger bila battery inatoa umeme kwenye pin za kucharge battery?je nature ya battery in temperature ukiliweka kwenye charge?
 
Kwanza pima adopter yako inatoa moto unaotakiwa?kama inatoa angalia ukichomeka charger bila battery inatoa umeme kwenye pin za kucharge battery?je nature ya battery in temperature ukiliweka kwenye charge?
mkuu, adopter inatoa moto vizuri. nikikonnect pc inaonesha inacharge kwa muda kama wa sekunde 30 hivi na betry charge inaonekana iko nusu (54%). baada ya hapo inaacha ghafla kuchaji na nikiunplug pc huzima.
 
mkuu, adopter inatoa moto vizuri. nikikonnect pc inaonesha inacharge kwa muda kama wa sekunde 30 hivi na betry charge inaonekana iko nusu (54%). baada ya hapo inaacha ghafla kuchaji na nikiunplug pc huzima.
To a battery weka charge ,then chek unaweza tumia pc bila battery kabisa so ikiwork 2 things battery au charging system ya pc
 
samahani kwa kuingilia Uzi but nami Nina tatizo kama hilo ila PC inacharge vizuri lakini nilipobadirisha window kutoka window 8 to 10 inazima tu ghafla muda wowote ila haizidi nusu saa
 
samahani kwa kuingilia Uzi but nami Nina tatizo kama hilo ila PC inacharge vizuri lakini nilipobadirisha window kutoka window 8 to 10 inazima tu ghafla muda wowote ila haizidi nusu saa
ok hapo window(o.s) uliyoweka haipo sawa mara nyingi kama imeingia driver ambayo siyo compatible hilo tatizo hutokea.. solution rahisi ni-kuinstal fresh os kuliko ku-track tatizo
 
Back
Top Bottom