Msaada: Wapi pa kupata cage za kufugia kuku wa mayai?

Msaada: Wapi pa kupata cage za kufugia kuku wa mayai?

Tunapatikana Dar es salaam, tupo Pugu. Ya Row 3 inabeba kuku 96 na cage ya Row 4 inabeba kuku 160. Zinadumu kwa miaka 15 bila kupata kutu. The L is 2m, span 2.6m, H 2.2m
 
Mkuu nauza hizo cage kwa bei nafuu sana. Ya Rows 3 ni Tshs 850,000 na ya Rows 4 ni Tshs 1,000,000 per cage.
Cages zina ubora wa hali ya juu sana. Nipigie kwenye number yangu 0658-300982.
Nitumie picha zake.0625798455
 
Tayari mkuu
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    75.5 KB · Views: 303
  • image.jpeg
    image.jpeg
    93.9 KB · Views: 381
Back
Top Bottom