Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,351
- 2,227
Sawa ndugu yangu.Dah
Kuna mzee alikuwaga nayo morogoro anaitwa chaduma alikuwa mwalimu wa Jabal Hila Now Kashafariki, Utotoni Alikuwa Ananivuta Sana
Kama Ukikosa Na Unahitaji Sana Nichek Nikupe Namba Za Mjukuu Wake Akutafutie
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu tofauti na kifaa kama hiko, Simu kitu chenye ID yakueleweka hiko labda Duka au mmachinga anayeuza Mavitvitu/mangorongonjo mfano wa kitu kama hiko pazo za rangirangi zile, vidori vya gozidilla, ma superheroes nk.Naamini kuna maduka huwa wana uza bidhaa za zamani (Zilipendwa).
Mfano: Kuna duka kariakoo wanauza simu za miaka ya nyuma sana, tena safi kabisa.
True.Simu tofauti na kifaa kama hiko, Simu kitu chenye ID yakueleweka hiko labda Duka au mmachinga anayeuza Mavitvitu/mangorongonjo mfano wa kitu kama hiko pazo za rangirangi zile, vidori vya gozidilla, ma superheroes nk.
Mkuu, nielekeze hilo Duka.. naitaka sana Nokia Asha 202Naamini kuna maduka huwa wana uza bidhaa za zamani (Zilipendwa).
Mfano: Kuna duka kariakoo wanauza simu za miaka ya nyuma sana, tena safi kabisa.
Mkuu umenikumbusha mbali sana....unahitaji cha nini mkuu?