Dilgent Mmbaga
Member
- Feb 15, 2013
- 14
- 3
kuna sehemu inaitwa Apatech nyuma ya mahakama ya kisutu,sehem nyingine techbrain posta nafkiri.
Kama unataka kusoma SQL Expert na OCA nenda KITM Jamaa anafundisha vizuri sana kuliko mahali pengine popote na bei zao ziko reasonable(jamaa mdogo mdogo hiv ila yuko fresh sana).. ila kama umefikia level ya OCP ndena Apatech ndio chuo pekee Tanzania Kinaruhusiwa Kutoa OCP ila bei yao n USD 1000 per kila level hivyo kama unataka kusoma OCP TU ni USD 1000 kama ni zote n kwa pamoja n USD 2200
Hello JF!
Naomba msaada wa kuelekezwa mahali ambapo pako certified kutoa oracle database certification kwa hapa Dar es salaam.
Nimefuatilia UCC ila wao wanatoa Database administration (Mysql) only.
Please assist with costs associated.
Thanks!
Unachanganya vituo vinavyo ruhusiwa kufanyia mtihan ya PearsonVUE na training center za Oracle.. check vizuri kwenye web site ya Oracle.. I am OCP certified with oracle.. any question al b hppy to ans you.. OCP nitanzania inafundishwa na Aptech (unique Academy Limited) tu zaid ya hapo huwez pata certificate ya OCP.. kipo post na bei n USD 1000.. ila kwa course za SQL Expert na OCA nashauri mtu asome KITM jamaa yako vizuri sana.. tembelea hii link Find An Education Center alafu kwenye country nenda Tanzania..
Unachanganya vituo vinavyo ruhusiwa kufanyia mtihan ya PearsonVUE na training center za Oracle.. check vizuri kwenye web site ya Oracle.. I am OCP certified with oracle.. any question al b hppy to ans you.. OCP nitanzania inafundishwa na Aptech (unique Academy Limited) tu zaid ya hapo huwez pata certificate ya OCP.. kipo post na bei n USD 1000.. ila kwa course za SQL Expert na OCA nashauri mtu asome KITM jamaa yako vizuri sana.. tembelea hii link Find An Education Center alafu kwenye country nenda Tanzania..
kwahy mkuu naweza soma DATABASE ADMINISTRATION pale UCC ...ikisha mtihani nkafanye huko kwingine???
huo mtihani wa certication unalipiwa mapesa mangapi?
HAha ha.. hapana nimatumizi tu ndio shida...!! ukifika pale kwenye SELECT A COUNTRY changua African operation alafu kwenye SELECT A STATE changua AA alafu malizia kwenye select A CITY ndipo changua Tanzania.. utakuwa umeipata..
Pole sana Kwa kushindwa kuona at first.. kwenye training moja nilienda ya e-commerce web site developer, moja ya (point) niliyo ipenda ilikuwa inatutaka kuwatafunia watu kila kitu kwenye site coz pple now dyz a lazy...
Kama unataka kusoma SQL Expert na OCA nenda KITM Jamaa anafundisha vizuri sana kuliko mahali pengine popote na bei zao ziko reasonable(jamaa mdogo mdogo hiv ila yuko fresh sana).. ila kama umefikia level ya OCP ndena Apatech ndio chuo pekee Tanzania Kinaruhusiwa Kutoa OCP ila bei yao n USD 1000 per kila level hivyo kama unataka kusoma OCP TU ni USD 1000 kama ni zote n kwa pamoja n USD 2200
Unachanganya vituo vinavyo ruhusiwa kufanyia mtihan ya PearsonVUE na training center za Oracle.. check vizuri kwenye web site ya Oracle.. I am OCP certified with oracle.. any question al b hppy to ans you.. OCP nitanzania inafundishwa na Aptech (unique Academy Limited) tu zaid ya hapo huwez pata certificate ya OCP.. kipo post na bei n USD 1000.. ila kwa course za SQL Expert na OCA nashauri mtu asome KITM jamaa yako vizuri sana.. tembelea hii link Find An Education Center alafu kwenye country nenda Tanzania..