nina rafiki angu nasoma nae chuo ndo tunaingia mwaka wa tatu anatokea familia ya kawaida ila wazazi wake waliweza kumlipia ada mwaka wa kwanza then wakashindwa akapata mwanaume akamlipia ada mwaka wa pili juzi juzi kamtumia msg kuwa ameoa na hamtaki na uyu dada ana mimba changa mwanaume kamwambia ni zawadi yake hajui afanyaje ndoto zimepotea chuo kafungua ada hana mimba ndo iyo hajui kwa kuanzia na kwao sio mkoa anaosoma alibaki kwa mwanaume likizo akiwa anafanya field kwao walishamwambia aache chuo tangu ule mwaka wa kwanza bahati ndo akampata uyo mwanaume sasaivi afanyaje hana msaada anaitaji ushauri afanyaje na ambaye yupo tayari kumsaidia kwa chochote awasiliane na mimi pia anatamani kutoa iyo mimba je afanyaje