Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 622
- 1,732
Habari za Majukumu wadau wa jukwaa hili. Ninaomba kwa yeyote anaye fahamu Wanunuzi au soko la Korosho Kwa mikoa ya Dar es Salaam, Pwani au Morogoro anifahamishe. Naomba pia nipate mawasiliano ya yao/ofisi. Nahitaji mnunuzi serious sana maana ninao mzigo wa kutosha.
Natanguliza shukurani.
Natanguliza shukurani.