Heshima mbele waungwana mimi ni kijana wa miaka 25. Kilichonifanya kuja hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kifikra. Kwani najua hapa kuna watu ni wajuzi sana naomba msaada kwenu nyote me/ke usipite bila kuchangia kwani nadhalilika sana.
Mwenzenu sijui kabisa kuongea na wanawake siwezi kutongoza na sijawai kufanya mapenzi toka nizaliwe mimi nawaogopa sana wanawake na sijui hata pa kuanzia kuongea nao ili niwatongoze na hata namna ya kutongoza sijui, mtaani sieleweki watu wanadhani mimi mgonjwa ila kiukweli niko safi kabisa.
Mim sio mtu wa kujichanganya na watu mara zote napenda kuwa alone kuna mtu aliniambia ninunue dada poa mwisho nitazoea ila kiukweli hata namna ya kuongea na dada poa siwezi, sijui nianzie wapi hata kama mfukoni nina laki naeza kwenda club ila nikatoka kavu wakati wenzangu wanaondoka na mizigo ya ukwel huwa naumia sana.
Kuna mwanamke tuko ofisi moja nilitaka kujaribu ila majibu niliyopata sikuwa na nguvu alisema kama nina hamu nipige punyeto na kama siwezi nitafute basha anitoe ushamba.
Naomba mnifundishe kutongoza na nyie wanawake humu naombeni mnipe ujuzi wa kuongea na nyinyi na kuwatongoza. Na pia munuieleze jinsi hata ya kununua dada poa maana hela naweza kuwa nayo na nisipate kitu.
Tafadhali nisaidie
Mwenzenu sijui kabisa kuongea na wanawake siwezi kutongoza na sijawai kufanya mapenzi toka nizaliwe mimi nawaogopa sana wanawake na sijui hata pa kuanzia kuongea nao ili niwatongoze na hata namna ya kutongoza sijui, mtaani sieleweki watu wanadhani mimi mgonjwa ila kiukweli niko safi kabisa.
Mim sio mtu wa kujichanganya na watu mara zote napenda kuwa alone kuna mtu aliniambia ninunue dada poa mwisho nitazoea ila kiukweli hata namna ya kuongea na dada poa siwezi, sijui nianzie wapi hata kama mfukoni nina laki naeza kwenda club ila nikatoka kavu wakati wenzangu wanaondoka na mizigo ya ukwel huwa naumia sana.
Kuna mwanamke tuko ofisi moja nilitaka kujaribu ila majibu niliyopata sikuwa na nguvu alisema kama nina hamu nipige punyeto na kama siwezi nitafute basha anitoe ushamba.
Naomba mnifundishe kutongoza na nyie wanawake humu naombeni mnipe ujuzi wa kuongea na nyinyi na kuwatongoza. Na pia munuieleze jinsi hata ya kununua dada poa maana hela naweza kuwa nayo na nisipate kitu.
Tafadhali nisaidie