Mwakabizzle
Member
- Jun 10, 2011
- 29
- 2
Heshima mbele wakuu wote hapa jamvini.....
naomba msaada wa kujua ilipo ofisi ya Dour Tanzania Company Limited,ninachofahamu ni kwamba wapo mtaa wa samora ila sijui jengo ilipo hii ofisi linaitwaje au ipo mkabala na jengo gani
Sio mbaya pia kama mtanisaidia ilipo ofisi ya HR Solutions Ltd ninachojua ni kwamba wapo vingunguti lakini sijui kituo cha kushukia kama unatokea mjini na jengo ilipo ofisi hii linaitwaje au lipo jirani na jengo au ofisi ipi kama alama ya kunisaidia kuitambua kwa haraka.
msaada tena wakuu Genius Consultancy hawa jamaa nao ofisi zao ziko maeneo gani na nikiwa natokea mjini nishuke kituo gani,,,,?
Natanguliza shukrani wakuu.
naomba msaada wa kujua ilipo ofisi ya Dour Tanzania Company Limited,ninachofahamu ni kwamba wapo mtaa wa samora ila sijui jengo ilipo hii ofisi linaitwaje au ipo mkabala na jengo gani
Sio mbaya pia kama mtanisaidia ilipo ofisi ya HR Solutions Ltd ninachojua ni kwamba wapo vingunguti lakini sijui kituo cha kushukia kama unatokea mjini na jengo ilipo ofisi hii linaitwaje au lipo jirani na jengo au ofisi ipi kama alama ya kunisaidia kuitambua kwa haraka.
msaada tena wakuu Genius Consultancy hawa jamaa nao ofisi zao ziko maeneo gani na nikiwa natokea mjini nishuke kituo gani,,,,?
Natanguliza shukrani wakuu.