haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,857
- 4,656
Chaja zote alafu imekuwa slow sana kupeleka chaji nimebadili battery lakini bado alafu kingine kuna kamlio inatoa sehemu ya system charge nikiwa natumia.charger zote? ukichaji na usb kawaida je? mfano unachomeka usb kwenye laptop