Mwanaume MASHINE
Senior Member
- Jun 14, 2017
- 172
- 324
Habari za mida wakuu,
wakuu nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne kwa mwaka 2015,alipata iv ya 26, je kwa wakati huu anaweza kukubaliwa maombi katika chuo ualimu wa primary cha serikali?
wakuu nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne kwa mwaka 2015,alipata iv ya 26, je kwa wakati huu anaweza kukubaliwa maombi katika chuo ualimu wa primary cha serikali?