MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,547
Wakuu mdogo wangu kasomea fani ya ualimu wa science kamaliza mwaka 2015,wameambiwa watume nakala za vyeti wizara ya elimu kwa ajili ya uhakiki wa ajira mpya.
Nipo hapa namsaidia kutuma email mdogo wangu kwenda info@moe.go.tz but baada ya mda kama dakika moja hivi inaingia email mpya kuniambia email niliyotuma is rejected.Email nayotumia ni yahoo.TATIZO NINI HAPO WAKUU
Nipo hapa namsaidia kutuma email mdogo wangu kwenda info@moe.go.tz but baada ya mda kama dakika moja hivi inaingia email mpya kuniambia email niliyotuma is rejected.Email nayotumia ni yahoo.TATIZO NINI HAPO WAKUU