Msaada Wakuu, Ni Wapi Nitapata Mercury!!!

Msaada Wakuu, Ni Wapi Nitapata Mercury!!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,784
Kwa anayefahamu au anayo hii bidhaa tafadhali tuwasiliane naihitaji sana,.


Either kama unajua wapi inapatikana pia naomba unifahamishe tafadhali!!

Natanguliza shukrani,.
 
hayo maji yanalindwa na majoka makubwa ni bora ukalime maana cjawahi ckia mtu ambaye amefanikiwa.
 
hayo maji yanalindwa na majoka makubwa ni bora ukalime maana cjawahi ckia mtu ambaye amefanikiwa.

kulima nalima sana mkuu,.


Ngoja waje wadau wengine huenda wakawa wanafahamu!!
 
Kwa anayefahamu au anayo hii bidhaa tafadhali tuwasiliane naihitaji sana,.


Either kama unajua wapi inapatikana pia naomba unifahamishe tafadhali!!

Natanguliza shukrani,.

mercury nyeupe imejaa jeshini ngerengere wanasafishia mizinga na vifaru ila usije tapeliwa eti kuna red mercury (liquid) hakuna! ila kuna red powder mercury.
 
mkuu siyo kila jambo ni la kuleta masihara,.

Kama hufahamu bora utulie tu, wanaojua watanisaidia!!

Akili yako ndogo sana haifiki hata ujazo wa kb 50.

mtu mwenye akili timamu hawezi kutapeliwa kwa hadithi za utapeli wa miaka ya 1980 huko.

siku nyingine anzia google kupata maelezo sahihi ya unachotaka kabla ya kuleta ujinga wako hapa.
 
Kwa anayefahamu au anayo hii bidhaa tafadhali tuwasiliane naihitaji sana,.


Either kama unajua wapi inapatikana pia naomba unifahamishe tafadhali!!

Natanguliza shukrani,.

We unahitaji mercury ipi white or red? Na liquid or powderform?
 
Akili yako ndogo sana haifiki hata ujazo wa kb 50.

mtu mwenye akili timamu hawezi kutapeliwa kwa hadithi za utapeli wa miaka ya 1980 huko.

siku nyingine anzia google kupata maelezo sahihi ya unachotaka kabla ya kuleta ujinga wako hapa.

ahasante kwa kukariri kwamba kila kitu kinapatikana google!

Endelea hivyohivyo uwezo wako wa kufikiria umekomea hapo,. Achana na hii thread kuna watu wapo tiyari kunielekeza hata kama kuna ugumu kupatikana kwake watanifahamisha hakuna shida,.
 
Nicheck kwe 0715255179 kuna mzee mmoja anayo ila ni liquid form
 
Bei yake si ghali sana toka kwenye chanzo, ni kuanzia 3 million inapatikana katikati ya singida na arusha.
 
Bei yake si ghali sana toka kwenye chanzo, ni kuanzia 3 million inapatikana katikati ya singida na arusha.

hakuna shida mkuu,.

Kama unayo tuwasiliane tafadhali,.
 
Back
Top Bottom