Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
​Salaam wakuu
mi nilikuwa na modem ya huawei E1550 ya airtel ilikuwa internet ilikuwa fasta sn tu kwa bahati mbaya iakaribika nikalazimika kununua modem mpya za airtel aina ya ZTE MF190 3.75G lakini cha kushangaza hii ukiiconnect network inakuwa slow sana na haifunguki automatically mpk uifungulie kwenye my computer wakati nimeisha install plz kwa mwenye utaalam naomba msaada.
mi nilikuwa na modem ya huawei E1550 ya airtel ilikuwa internet ilikuwa fasta sn tu kwa bahati mbaya iakaribika nikalazimika kununua modem mpya za airtel aina ya ZTE MF190 3.75G lakini cha kushangaza hii ukiiconnect network inakuwa slow sana na haifunguki automatically mpk uifungulie kwenye my computer wakati nimeisha install plz kwa mwenye utaalam naomba msaada.