sun shine
Member
- Apr 23, 2011
- 13
- 1
wahenga wa jukwaa hili nina shida moja nahitaji msaada wanu.
leo nina game moja ya mchangani na nimeikamia sana.
nataka kuongeza nguvu kidogo ili nipige round za kutosha.
ni wapi naweza pata viagra kwenye jiji hli lisilo na mkuu wa mkoa?
na gharama zake zipoje.
kama zipo za asili na zimekaa poa nitashukuru pia.
leo nina game moja ya mchangani na nimeikamia sana.
nataka kuongeza nguvu kidogo ili nipige round za kutosha.
ni wapi naweza pata viagra kwenye jiji hli lisilo na mkuu wa mkoa?
na gharama zake zipoje.
kama zipo za asili na zimekaa poa nitashukuru pia.