Ujumbe unatakiwa kuangalia email address hata kama kuna kitu kimemiss kidogo mfano unaweza kuweka herufi kubwa badala ya ndogo pia ni kosa, kama kuna character imemiss ni kosa.
Kutokana na ujumbe jaribu kumuomba email yake upya au ulizia wenzio imekuwaje wametumia email ipi?