yilima jerad
Member
- Jan 16, 2016
- 59
- 25
Mtandao unasoma wa kawaida, samahani izo x nilikua nimeandika z samahani mdauMkuu hizo x ulizoweka zinasomekaje mfano maelexo na ilinilaximu.
Huduma kwa wateje halotel ni no 100
Mtandao unasoma au ausomi?
Naelewa lkn mbona ukikonect data inakubali lakini ukitaka kusarf/ kusearch Google inasema your off line, na inatakiwa isom, 3g, H+,Hitz tz ndo halotel hiyo hiyo
Naelewa lkn mbona ukikonect data inakubali lakini ukitaka kusarf/ kusearch Google inasema your off line, na inatakiwa isom, 3g, H+,
Asante nimefanya hivyo wamenitumia ,nimeconfiguration VP natakiwa nibonyeze custom au full install?Njia nyepesi nenda kwenye ukumbi wa masage andika neno (configuration) tuma kwenda namba 15503 subiri ujumbe wa configuration kwenye simu yako then save enjoy
Kipengele chochote kimoja wapo ukibonyeza poa ila kama itakutaka uingize password ingiza namba 1111 kama haitohitaji namba basiAsante nimefanya hivyo wamenitumia ,nimeconfiguration VP natakiwa nibonyeze custom au full install?
Asante nimefanya but still haionyeshoi ishara ya data, Hata kidogo labda ni eneo nilipoKipengele chochote kimoja wapo ukibonyeza poa ila kama itakutaka uingize password ingiza namba 1111 kama haitohitaji namba basi
Hiyo data umefungua?Asante nimefanya but still haionyeshoi ishara ya data, Hata kidogo labda ni eneo nilipo
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Inawezekana kuna itilafu hapo ulipoAsante nimefanya but still haionyeshoi ishara ya data, Hata kidogo labda ni eneo nilipo
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hilo tatizo hata kwang lipo na sio kutokana na eneo sababu kuna mtu anatumia halotel nakaa nae ila yake inafanya kaz mi nadhan hiz late n za chuo ndio zi nasoma hits tz na haziconnect na data maana mie nimeweka apn za kila aina na zote hazifany kaz na wala hiyo hitstz sidhan kama ni halotel maana halotel di ni viettel ila hiyo hits ni kampuni nyengnr kabisa lakin cha ajab vocha za halotel zinaingia sim unapiga ila tu data haifany kaz kind ng hiyo lain tupa tu hata uende ikulu bado tatizo hilo utakutana nalo kwahyo sio sehem uliopoYeah Mi mwenyewe nahisi hivyo eneo nilipo labda.