R rarsaid New Member Joined Oct 16, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Oct 11, 2016 #1 Naomba msaada kwa anae fahamu, tatizo ni kila niwashapo desktop yangu ushindwa kuwaka na badala yake uonyesha taa ya standby wakati wote.
Naomba msaada kwa anae fahamu, tatizo ni kila niwashapo desktop yangu ushindwa kuwaka na badala yake uonyesha taa ya standby wakati wote.
mwawimbi Member Joined May 28, 2016 Posts 32 Reaction score 1 Oct 12, 2016 #2 Msaada wadau naomba munijulishe njia ya kurekebisha tatizo, ikiwa ukizima data kwenye smart phone, inatokea inazima kwamuda na baadae ina jiwasha?
Msaada wadau naomba munijulishe njia ya kurekebisha tatizo, ikiwa ukizima data kwenye smart phone, inatokea inazima kwamuda na baadae ina jiwasha?