barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Duh...Je unatumia antivirus gani?Yap nayo haifunguki
Disable anti virus zote ikiwemo pia ile ya windows defender...
Duh...Je unatumia antivirus gani?Yap nayo haifunguki
Computer kama browsers ghafla zinakataa, always ni virus, adwares, au spywares. Tatizo watu mnakamatwa sana kirahisi, unakuta umedowload na ku-install hayo maprogram bila kujua. Inabidi u-download adware removal program kali sana kama Malwarebytes. Itakusaidia.Habari,
Wadau PC yangu (Dell) haifungui browser yeyote ile mfano Mozilla, opera na Google chrome.
Nifanyeje?
Kwahyo smadav si kitu kama antivirus??Computer kama browsers ghafla zinakataa, always ni virus, adwares, au spywares. Tatizo watu mnakamatwa sana kirahisi, unakuta umedowload na ku-install hayo maprogram. Inabidi u-download adware removal program kali sana kama Malwarebytes. Itakusaidia.
Nyingine nzuri hizi hapa
Malwarebytes
Spybot
Avast Antivirus
AdwCleaner
HitmanPro
Hata kapersky watu wanatumia sio top notch. Problem ni kwamba viruses, adwares, spywares zinakuwa updated kila siku to overcome the anitviruses. Ni kama wezi, kila siku wanakuja na njia mpya, sasa ni juu yako kuwa na silaha kabambe nawe pia ujidhibiti. Viruses wanazifanya kwamba zishinde antiviruses. Na ndio maana kama kapersky wala haitaondoa viruses vizuri. Wengi inawashindwa. Sasa only few programs kama malwarebytes wanapambanaga jicho kwa jicho na hao viruses makers. Wakizi-update virus zao, nao wanaupdate kinga ya antivirus.Kwahyo smadav si kitu kama antivirus??
OK. I catch youHata kapersky watu wanatumia sio top notch. Problem ni kwamba viruses, adwares, spywares zinakuwa updated kila siku to overcome the anitviruses. Ni kama wezi, kila siku wanakuja na njia mpya, sasa ni juu yako kuwa na silaha kabambe nawe pia ujidhibiti. Viruses wanazifanya kwamba zishinde antiviruses. Na ndio maana kama kapersky wala haitaondoa viruses vizuri. Wengi inawashindwa. Sasa only few programs kama malwarebytes wanapambanaga jicho kwa jicho na hao viruses makers. Wakizi-update virus zao, nao wanaupdate kinga ya antivirus.