Suluhisho lililo salama ni kutumia HotSpot kutoka kwenye smartphone yako Boss,kama ofisini kwako unatumia pc ambayo haina wifi anza kwa kununua usb wifi dongle inauzwa 10k tu kisha una connect na HotSpot kutoka kwenye simu yako kisha fanya yako bila lawama.Wakuu makao makuu ya ofisi wamefungia access ya net zaidi ya kupost data za kazi tu
Je nifanye nini ku unlock
Sorry.Haifunguki kbs
Sikufanikiwa!Sorry.
Ulifanikiwa? Na unaposema haifunguki kabisa ni browser haifunguki yaani ukiclick kwenye icon yake haiji au inakuja ila url unayoiweka inakataa kufunguka?
Kama url ndio inakataa kukupeleka ktk page husika ni hauna connection ya internet, eidha mtandao wako hauko sawa au bando au haujakonnect vizuri....
Kama ni suala la browser ukiclick icon yake na haifunguki, jaribu browser zingine...
Ok..Sorry.
Ulifanikiwa? Na unaposema haifunguki kabisa ni browser haifunguki yaani ukiclick kwenye icon yake haiji au inakuja ila url unayoiweka inakataa kufunguka?
Kama url ndio inakataa kukupeleka ktk page husika ni hauna connection ya internet, eidha mtandao wako hauko sawa au bando au haujakonnect vizuri....
Sikufanikiwa!
Ni icon niclick haifunguk KBS.
Na shida ni hizo browser ila app zingine zinafunguka!
Kama ni suala la browser ukiclick icon yake na haifunguki, jaribu browser zingine...
OK ahsante kwa ushauri!Ok..
Pole. Ni mashine mpya? Kama sio mpya naamini umewahi tumia hizo browser na zilifanya kazi. Je kuna program umeiweka hivi karibu na baadae umeanza ona browser hazifunguki? Unatumia os windows gani? Kama ni wondows 10 update mashine yako iwe na latest updtates...
Kama huwa unaiupdate jaribu kutoa updates mpaka siku ambayo browser ilifanya kazi...
Pia jaribu kudisable antivirus uone kama zitafunguka...
Mozila uliofuta kwa mtindo gani?OK ahsante kwa ushauri!
Mashine si mpya, natumia window 10
Sioni program yeyote mpya niliyoweka japo nimekua nikichezea setting zake na kurun option tofauti tofauti!
Mfano nilikua na Mozilla Firefox ilivyozingua kufunguka nikaifuta ndo nikabaki na Google chrome na opera
Nitajaribu hizo option ulizonipa!
Browser ya Microsoft edge nayo haifanyi?Mozila uliofuta kwa mtindo gani?
Karibu kwenda kuziunistall ktk programs yaani kwenye control panel, ila browser ya edge usiitoe..Niliimark then delete