Msaada wadau kuhusu kusoma kozi ya ICT

Msaada wadau kuhusu kusoma kozi ya ICT

Ok kumbe dili hii koz je mtu akiishia diploma ya hii kitu,anaweza kuajiriwa,au mpak degree?
Aim kuwa bora katika masomo yako then hautokuja kujutia , by they way ingia google and youtube learn more about gis ina application kila pahala , naifahamu hiyo kitu na nimebobea katika hiyo kitu, bila shaka unaenda cive udom ila wataalamu wake wanapatikana pia coes udom bsc geoinformatics ndio kitovu sahihi cha gis.
 
Aim kuwa bora katika masomo yako then hautokuja kujutia , by they way ingia google and youtube learn more about gis ina application kila pahala , naifahamu hiyo kitu na nimebobea katika hiyo kitu, bila shaka unaenda cive udom ila wataalamu wake wanapatikana pia coes udom bsc geoinformatics ndio kitovu sahihi cha gis.
Hap hap cive jombaaaa degree yake cindio geoinformatics au geomatics?
 
Anaajiriwa lakini pia inategemea kwenye Gis ame specialize kwenye nini , dili kubwa ni Ku specialize Gis kwenye Risk distaster management, hydrology, na mambo climate change hizo dili saana..
pia anaweza ku specialize kwenye land management ingawa kwa sasa sio dili kivile sababu kuna competition na watu wa ardhi kama maafisa mipango miji na wapima ardhi
Bro usinichoke je mtu wadiploma nawenyew nawenyew wanaspecialize au wanasom vyote tu hivi
 
Hapana cive hawana degree ya geoinformatics hapo ni diploma tu, degree ipo coes, karibu sana.
Dah furesh san bro maan nilikuw ninajiuliza kichiz maan hii koz nilivyoiangalia cikuon kam inadegree kumbe degree yk n geoinformatics,but n hii koz bro cikuna vitu vya programming humu humu au inakuaje?
 
Dah furesh san bro maan nilikuw ninajiuliza kichiz maan hii koz nilivyoiangalia cikuon kam inadegree kumbe degree yk n geoinformatics,but n hii koz bro cikuna vitu vya programming humu humu au inakuaje?
Being a cive student programming is a must, c++, java, pythoni, inorder to enjoy gis career programming is the must, but it is not a big deal, you can handle it with determination and hard working you will become a good gis analyst and expert even you can further to gis system developer here is my specialization gis system developer.
 
Being a cive student programming is a must, c++, java, pythoni, inorder to enjoy gis career programming is the must, but it is not a big deal, you can handle it with determination and hard working you will become a good gis analyst and expert even you can further to gis system developer here is my specialization gis system developer.
ok je mtu mweny diploma ya IT anawezapiga hii koz kwa level ya degree au itambana bro
 
[QwUOTE="Georgie Jr, post: 28516927, member: 502682"]diploma anaweza pia ku specialize na itakuwa nzuri zaidi , na kama utasoma vyote maana yake utakuwa basic na introduction[/QUOTE]
Fresh bro nimekupat,ngoj dogo apige hii kitu kumbe dili
 
Habar wadau nilikuw nilikuw ninauliza hiv mtu aliyemaliza diploma ya IT anaweza kusom koz ya geoinformatics kwa level ya degree.
 
Habar wadau nilikuw nilikuw ninauliza hiv mtu aliyemaliza diploma ya IT anaweza kusom koz ya geoinformatics kwa level ya degree.
 
Habar wandugu,ninadogo langu amechaguliwa UDOM kwa koz ya ICT level ya cheti,sasa kuna kitu kinanitatiza kidogo hapa,list ya applicants ya non degree ya koz ya ICT level ya cheti haipo zip koz nyingine,yaan wanafunzi waliokuw verified mwaka huu,wakat walimchagua kweny first around na pia walimweka kweny list,sasa hii list nyingine hawajaiwek hii koz,hii ishu inakuaj wadau
 
Habar wandugu,ninadogo langu amechaguliwa UDOM kwa koz ya ICT level ya cheti,sasa kuna kitu kinanitatiza kidogo hapa,list ya applicants ya non degree ya koz ya ICT level ya cheti haipo zip koz nyingine,yaan wanafunzi waliokuw verified mwaka huu,wakat walimchagua kweny first around na pia walimweka kweny list,sasa hii list nyingine hawajaiwek hii koz,hii ishu inakuaj wadau
 
Habar wandugu,ninadogo langu amechaguliwa UDOM kwa koz ya ICT level ya cheti,sasa kuna kitu kinanitatiza kidogo hapa,list ya applicants ya non degree ya koz ya ICT level ya cheti haipo zip koz nyingine,yaan wanafunzi waliokuw verified mwaka huu,wakat walimchagua kweny first around na pia walimweka kweny list,sasa hii list nyingine hawajaiwek hii koz,hii ishu inakuaj wadau

Akilog in kwa account yake wanamwambiaje?
 
Screenshot_20181026-122100.png
Screenshot_20181026-122100.png
 
Back
Top Bottom