Pole kiongozi, format upya kisha uinstall hiyo window 7 loader na hakikisha kama unatumia internet unaenda kwenye window updater, change setting unakataa isiupdate windows, jaribu hilo.Wakuu, pc yangu inaniletea messege ya windows 7Build 7600, this coppy of windows is not genuine.uki start computer inasema the activation time is over. nimejaribu ku instal loader seven lakini bado tatizo lilko pale pale. naombeni msaada wakuu
.nimejaribu tena imeniambia invalid combination of command parameters
.Ahsante mkuu,,,,,,, computer imefaaaaa
.
Mkuu MBUFYA mimi nimefurahi kwa kuwa umefanikiwa kwa instructions (tricks) nilizokupa.
Si watu wengi wanajua hizi tricks ... natumaini kuwa uzi huu utawasaidia watu wengi wenye tatizo kama lako
All the best
Mimi ni mmoja kati ya wliofaidika na uzi huu!! Asante sana Mkuu, asante
.mkuu imefaa na kwangu tatizo la windows not genuine limeondoka lakini kioo bado ni cheusi, nifanyaje? msaada tafadhali
.
Mkuu MBUFYA mimi nimefurahi kwa kuwa umefanikiwa kwa instructions (tricks) nilizokupa.
Si watu wengi wanajua hizi tricks ... natumaini kuwa uzi huu utawasaidia watu wengi wenye tatizo kama lako
All the best
Dotworld
.
Mkuu MBUFYA usiwe na wasiwasi na wala hakuna sababu ya ku-reinstall au ku-format kama alivyosema sifongo hapo juu
...FANYA HIVI:
- Bonyeza start, then type cmd ... ikionekana Right Click alafu chagua Run as Administrator
- Ikifunguka type maneno haya slmgr rearm alafu bonyeza enter
- Ipe muda kidogo ikimaliza exit command prompt
Baada ya hapo restart computer utakuwa umemaliza tatizo lako & ile msg ya "windows not genuine" itaondoka
N.B:
Baada ya maneno slmgr kuna space alafu (-rearm) ni neno moja
Ikikataa mara ya kwanza unaweza ukarudia tena ku-type slmgr - rearm