Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
nimefanya hivo,lakin kila siku wanaibuka wapya,mim nina msimamo sana,rafik zangu wengine wananishauri vibaya wanataman wangepata bahati hii,lakin mim sion kama ni bahati bali ni fujo tu,na toka nikiwa mdogo adi leo niko na msimamo mkubwa sana adi rafik zangu wanashangaa,lakin mim najua ninachofanya
Endelea kua na msimamo usitetereke coz hao ni mapepo tu,maadam ushajua unawavutia kina dada, endeleza msimamo tu ndio pona yako,pole kwa usumbufu money stunna!