Tajiri wa kimasai huyu anataka Chuma USED akabebee Ng'ombe, mpe maelezo mkuu usimpunjeMatajiri wanaenda showroom kaka huyu hatupigi kweli hapa?
si mpaka adalalike, aki kubali msoto ume ishaTudalalie hapa ee
Sawa sio mbaya. Ina sifa gani iyo gari na ni mwaka gani na package gani?Ni used sio mpya
Hujaelewa nini hapo mkuu.Mbona sijakuelewa boss
Hukutakiwa kuwa na hela bado hujakuwaMsaada wa Ushauri: Kununua Toyota V8.
Wakuu, niliuza eneo ndo nimepata pesa sasa maswali hela nimepata wapi nishajibu, kwahiyo sasa nina pesa.
juzi nimepita online nimeona tangazo kuna gari kali V8 inauzwa na nimelipenda na ni Toyota V8 namba D kali sana, hii imekuwa ndoto yangu kubwa kulimiliki sasa nataka nilinunue maana bajeti inatosha,
Je, kwa umri wangu wa miaka 25, ni uamuzi sahihi? Nipe ushauri wenu kwa uzoefu. Ila ushauli wa biashara sitaki.
Hivi we jamaa uko sawa.au unafanya biashara.
, na sasa nina pesa. juzi kati nimeona tangazo la gari aina ya V8, Toyota V8 used tz namba D kali. hii imekuwa ndoto yangu kubwa kulimiliki na nimelipenda sana