mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 390
- 476
Mambo vip wanajukwaa?
Kwa wazoefu naomba Msaada, nina mdogo wangu alidahiliwa kwenda chuo kikuu cha Dodoma mwaka 2013 kwa points 3.0 yaani D na E, kwa wakat ule wanafunzi walidahiliwa kwa hizo point tofauti na hizi za sasa (4.0).
Mwaka 2015 akiwa mwaka wa pili aliugua na akaondoka chuo bila taarifa akakaa muda mrefu bila kufuafa taratibu za kuahirisha masomo, matokeo aliporudi chuoni, pamoja na evidence za ugonjwa alizokuwa nazo mkokoni lakini ikashindikana kurudishwa kwenye system (alidisco)
Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhari, baada ya muda wa discontinuation, what follows ili arudi chuo?
Kwa wazoefu naomba Msaada, nina mdogo wangu alidahiliwa kwenda chuo kikuu cha Dodoma mwaka 2013 kwa points 3.0 yaani D na E, kwa wakat ule wanafunzi walidahiliwa kwa hizo point tofauti na hizi za sasa (4.0).
Mwaka 2015 akiwa mwaka wa pili aliugua na akaondoka chuo bila taarifa akakaa muda mrefu bila kufuafa taratibu za kuahirisha masomo, matokeo aliporudi chuoni, pamoja na evidence za ugonjwa alizokuwa nazo mkokoni lakini ikashindikana kurudishwa kwenye system (alidisco)
Kwa mwenye uzoefu msaada tafadhari, baada ya muda wa discontinuation, what follows ili arudi chuo?