Msaada wa ushauri kuhusu solar Power

Ahsante kwa ushauri wako. Charger Control ninayo, ila naona betri ni ndogo km ulivyoshauri na nahisi imeshakufa mana nikiweka maji haifanyi kazi(haisukumi moto).
 
Shukrani kaka..
 


hivi hizi hesabu mmesomea wapi ?? mbona unabuni buni mkuu ...yani watts 400 afu unataka uwe na betri tatu za 100Ah really ?? hujui kuwa solar ya uwezo huo inaweza toa 23Ah tu kwa masaa nane kwa siku ni 188Ah sasa hizo nyingne unajaza na nini
 
NINA SOLAR PANEL WATT40 BETRI n33

NILIKUWA NAITAJI INVETA LAKINI WATU WAKANISHAURI KWAMBA NIKITUMIA
MOTO UTAKUWA UNAKATA MAPEMA

NA MIMI NATAKA NITUMIE TV

NIMEKUJA KWENU WATAALAMU NAOMBENI MSAADA PLZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…