Msaada wa unlocking airtel modem

WA MAMNDENII

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2010
Posts
344
Reaction score
58
Wanajamvi, tafaadhali msaada wa kuweza kutumia modem ya airtel kwa laini nyingine. Pia kuna modem hii yenye chata hili HSDPA nawezaje kuitumia. Naambatisha picha kwa zote mbili
 

Attachments

  • 1458989286383.jpg
    46.5 KB · Views: 37
  • 1458989303056.jpg
    42.3 KB · Views: 34
Ingia google tafuta dc-unlocker software, download install kwenye laptop yako. Ifungue ingiza details za hiyo modem utakazotakiwa kuzijaza pale ikiwemo IMEI. Model ya hiyo modem utaikuta pale kama suggestion. Ukimaliza click unlock, modem itakata network ikirudi mambo yameisha! Nimefanya hivyo kwenye modem kama yako 3 years ago nina uhakika 100%.
 

Ngoja nijaribu mkuu nitatoa mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…