Mnama_Sanawari
Member
- Sep 17, 2016
- 18
- 2
Je kuna mazingira ambayo yanaweza kupelekea nacte wakajumlisha GPA za NTA level 5 na 6 ili waweze kupata cumulative GPA za mtu kwenda bachelor? Nasema hivi coz kuna habari alizipata ndugu yangu aliyeomba kwenda bachelor kuwa, kama chuo hakina full registration itapelekea nacte kujumlisha NTA level 5 na 6 ili waweze kupata cumulative GPA, yaan kujumlishwa semester zote NNE za diploma. Je hizi taarifa zina ukweli ndani yake?