Msaada wa training ya self defence


Mimi ningekupa msaada wa mazoez lakin niko mbal best. Niko arusha. Ningekutrain shotokan karate n self defence techniques
 
Mkuu nitaipataje hiyo kitu, sina hela ya kununua manativya kizungu hiyo folder itanisaidia mpnz
 
dah yaan ni bora wakuvamie wachukue tu vifaa ila siku hizi wanataka hadi TIGO,Ndugu yangu ukipata nishitue na mimi!
 
Kama ni mwanamke niko tayari kukufundisha kwa sasa niko hapa Dodoma kwa Kazi maalumu.
 
NitakuPM nikirudi Dar kwa sasa niko Dodoma kwa kazi maalumu lakini mafunzo
yangu ni kwa wanawake tu kama ni mwanaume haitawezekana
 
naitamani taurs modell 66.357 magnum mlio wake mzuri
olesaidimu
 
mm enzi zangu hizo.hii michezo si kujilinda pekee.bali adabu,heshima,afya na kujiepusha na magonjwa na tabia hatarishi
 
Sa hv umeshapta mchuch hope atakulinda for everythng in and out!
 
Dah! ya maji ya pilipili imekaa sawa ila mi nilikuwa naplani kuweka katika chupa maji ya betri,akichungulia tu! anayo ya macho ! kipofu forever.
 
Mkuuu naweza pata hiyo video ya mazoezi?,
 
Samahani ni abdallahissah.1969@gmail.com
 
Sijui km utakua na hela ya kulipa ila kuna master 22years experience kwenye tai chi huyu sekunde anakutoa uhai ila kwa mwezi laki sita na unafanyiwa interview na yeye kuna vitu anavicheki kwanza akijua hakufundishi, short course miezi 6 ukimaliza hiyo fupi tu kati ya watu 500 labda moja anaweza kukupigani m1 tu anaweza kukupiga ila sio uje kua jambazi tu maana ni shehe swafi hataki uchafu, complete course miaka 6 hiyo ana wafundisha wanae tu ila ukihitimu hiyo ww ni full lethal weapon ndan ya dk. 1 mtu anaaga dunia. Nilijifunza mwezi kwake mazoezi ya viungo tu na emotional intelligence kwa mwezi tu nilihisi kbs nmekua kiumbe kipya
 
niunganishe naye sparring nijipime uwezo
 
npo dar ushapata mtu au nkufundishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…