Msaada wa training ya self defence


naomba nikutafute mkuu
 
Mtafute Mwanadada Lady Jaydee,naona nae anafanya mazoezi ya karate,..anaweza kukuelekeza anapofanyia.
 

hahhaha sina uwezo wa kukuajiri nataka kuwa na hizo skills mwenyewe,asante mkuu kwa ushirikiano
 
hii hapa stun gun.unaitumia kumu incapastate adui.
 
Kuna hadi flash ukimpiga mtu na mwanga usoni anapata temporary blindness.
Baadhi ya product ziko nafuu hata kwa chini ya sh 50,000.
Self defence product.
Stun Guns
 
mimi ni karateka but kymfundisha mtu lazima kuna basic information toka kwake nataka nizijue ili kumpa ushauri sahihi na kama unaweza kufanya hayo matizi au laaaa

sawa mkuu nitakupm kujua hiyo sanaa
 

dada angu ukiibiwa simu utanunua ingine lakini habari za kupambana na vibaka au majambazi utaumia bure tu na vitu vyako watachukua,jaribu tu kuwa mwangalifu sehemu unazotembelea na usitembee peke yako usiku sana. sijui unakaa maeneo gani lakini jitahidi kuwa mwangalifu.sikushauri upambane na vibaka au majambazi,wakikuwahi waachie wasije wakachukua na uhai wako.
 

niliibiwa kwangu na ni vitu kibao vyenye thaman kama milion mbili afu ukicheki ndo naanza maisha mtu anakusafishia sebule mpaka leo haiiniingii akilini natamani bastola siwwz kukaa kuwangoja waje waibe tena japo nishaama ila naishi mwenyewe
 
Self defence ni elimu pana sana.ila kwa sasa jifunze kwanza mental self defence mpaka utakapopata mwalimu physical self defence. Haya elimu ndiyo hii. Epuka kufungulia mziki kwa sauti kubwa au kuacha malango wazi katika muda wa mchana kwani unashawishi vibaka, jitaidi kuzoeana na wakabaji na vibaka wa mtaani kwenu kwa kuchangia sherehe zao,mpira na hela ya singara kama unayo kwa kufanya hivyo unawafanya wawe walinzi wako hata upite usiku wa saa ngapi,jifunze kutumia silaha ya jad au kisasa barabara,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…