zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,220
Nina package moja hivi inaitwa "Combat Survival" ni video series yenye maelekezo ya kujilinda na ipo very comprehensive. Inatumiwa sana na makomando wa Jeshi but hata mtu wa kawaida itakufaa. If u ar interested nitakupa hilo folder unacheck tu kweny tv au computer huku unapractice. Hata ukipata mwalimu bado yenyewe ita-serve a useful purpose 2u...
Mkuu folder ni kubwa. Ni zaidi ya GB moja...
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni
hahhaha uko juuu kaka angu mpaka unajua brand
Wapatikana wapi nije kuifata
Mkuu nisaidie nami hyo kitu,niongeze ufundi.
Lugalo
Nilivyoonaga tu avatar yako ...............!!!!!!!! :censored:
Lugalo
Azura wanafundisha wako pale karibu na daraja la kawe ukiingia google utapata contacts zao, kuna shirikisho la japani tanzania wanafundisha karate hiki ni chuo kimesajiliwa kipo pale mbuyuni karibia na kanisa la nyerere 0755256605, pia kuna wengine wanafundisha taekwondo ni martial arts ya kikorea 0758464961 na kama unataka ulinzi binafsi na dereva ni pm nimesoma zote hizo na matumizi ya silaha na udereva wa ulinzi
Ukiipata hebu fanya kama vile gee inakubana unampa mwingine!!!!!!
mkuu naonaga wana masharti mengi sana kuimiliki hiyo
Ha ha haaa....me ni mkulima tu mkuu!
Mpaka niipate sasa
mkuu hii sio silaha ya kujilinda, hii ni silaha kazi
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni
vipi mdada mi ni bodygurd kama unaitaji ulizi nitakulinda popote uendako kama unaniitaji ni pm