Msaada wa training ya self defence


Mkuu nisaidie nami hyo kitu,niongeze ufundi.
 

Azura wanafundisha wako pale karibu na daraja la kawe ukiingia google utapata contacts zao, kuna shirikisho la japani tanzania wanafundisha karate hiki ni chuo kimesajiliwa kipo pale mbuyuni karibia na kanisa la nyerere 0755256605, pia kuna wengine wanafundisha taekwondo ni martial arts ya kikorea 0758464961 na kama unataka ulinzi binafsi na dereva ni pm nimesoma zote hizo na matumizi ya silaha na udereva wa ulinzi
 

Wuthai taekwondo,wuthai Boxing ndo mpango mzima,naisubiria hi elimu ije bongo...
 

mimi ni karateka but kymfundisha mtu lazima kuna basic information toka kwake nataka nizijue ili kumpa ushauri sahihi na kama unaweza kufanya hayo matizi au laaaa
 

XM2010 Enhanced Sniper Rifle (ESR)

[TABLE="width: 643"]
[TR]
[TD="width: 312"]Caliber
[/TD]
[TD="width: 313"].300 Win Mag (7,62x67)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Action
[/TD]
[TD="width: 313"]Manually operated bolt action
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Overall length
[/TD]
[TD="width: 313"]1135 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Barrel length
[/TD]
[TD="width: 313"]610 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Weight
[/TD]
[TD="width: 313"]7,95 kg loaded, with scope
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Magazine capacity
[/TD]
[TD="width: 313"]5 rounds
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…