Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 812
- 888
Nipigie husipoteze mudanitashukuru mkuu
Nipigie husipoteze mudanitashukuru mkuu
Umetumia hile ya kupaka inaitwa ScabomaWanaJF habari za Jumapili.
Naombeni msaada wenu nina changamoto ya hili tatizo kwenye picha yapata sasa kama miezi 6 yamenipata haya
Nimetumia kila aina ya dawa hospitali nimejaribu kubadilisha hospitali tofauti tofauti lkn sipati nafuu.
Najikuna sana viwiko na shingoni mpaka ngozi inatoka
Naombeni msaada wenu waheshimiwa
MUNGU awabariki sana
View attachment 2293908View attachment 2293909
Yes ni pumu ya ngozi hio na hua inatesa sana , inasababishwa na allegy tafuta cream inaitwa cerave eczema oily cream ,inauzwa bei ghali ila itakusaidiaNadhan inaeza ikawa pumu ya ngozi.
Usitumie medicated soap.
Vaa nguo za cotton.
Epuka vitu vyenye harufu kali.
Unaeza kununua Vaseline isiyo na harufu upake ngozi iskae kavu.jioni meza cetrizene au loratadine moja
Onana na dermatologist kuna dawa utapewa ya kupaka.