Msaada wa tiba ya ugonjwa huu

Msaada wa tiba ya ugonjwa huu

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
1,596
Reaction score
3,433
Nilikuwa nimetokwa na kama mapunye hivi mwili mzima,baadae viligeuka vipele vyenye unyevu vinavyotoa maji,nikaenda hosp,nikapimwa magonjwa ya zina nikakutwa safi,nikapewa amoxilin,dawa ya allergy na tube ya kupaka.

Baada muda vilikauka, lakini sasa nawashwa sana,na nikijikuna naona kama panaacha alama panakuwa,peusi,nimetumia sabuni ya tetemosol na kupaka tube mbalimbali lakini wapi,cheki picha kwa ufafanuzi zaidi.

IMG_20200728_140858.jpg
 
nilikuwa nimetokwa na kama mapunye hivi mwili mzima,baadae viligeuka vipele vyenye unyevu vinavyotoa maji,nikaenda hosp,nikapimwa magonjwa ya zina nikakutwa safi,nikapewa amoxilin,dawa ya allergy na tube ya kupaka.

Baada muda vilikauka, lakini sasa nawashwa sana,na nikijikuna naona kama panaacha alama panakuwa,peusi,nimetumia sabuni ya tetemosol na kupaka tube mbalimbali lakini wapi,cheki picha kwa ufafanuzi zaidi.View attachment 1519746
Mkuu umeweka picha hujasema sehemu gani mwilini mwako ipo namna hivyo?Fanya hivi chemsha maji ya chumvi ya mawe yawe maji ya moto kisha osha kwa hayo maji ya moto.

Kisha chukuwa kipande cha limao jipakze hiyo sehemu kisha acha kama dakika 30. Kisha osha tena kwa maji ya moto yenye chumvi ya mawe vijiko 3.

Kisha apngusa iwe kavu jipakake hiyo sehemu mafuta ya nazi .Fanya hivyo kila siku mara 3 asubuhi mchana na usiku tumia hiyo dawa kama mwezi mmoja kisha njoo ulete mrejesho wako hapa.
 
nilikuwa nimetokwa na kama mapunye hivi mwili mzima,baadae viligeuka vipele vyenye unyevu vinavyotoa maji,nikaenda hosp,nikapimwa magonjwa ya zina nikakutwa safi,nikapewa amoxilin,dawa ya allergy na tube ya kupaka.

Baada muda vilikauka, lakini sasa nawashwa sana,na nikijikuna naona kama panaacha alama panakuwa,peusi,nimetumia sabuni ya tetemosol na kupaka tube mbalimbali lakini wapi,cheki picha kwa ufafanuzi zaidi.

View attachment 1519746
Hilo ni paja au?
 
Pole sana kwa ugonjwa hiyo ni fungal infection imekomaa ambayo ipo skinderm, systemic

1.Ushauri vaa tait akiwa unatembea kupunguza msuguano kati ya paja na paja. Asivae tait au chup mbichi.

Dawa za hospital

2. Tumia terbinafine cream bd 14-21 days na terbinafine tablet od ck 14-21.

Or

Hakikisha ukitumia dawa za kupaka tumia na vidonge vya kumeza terbinafine/ Fluconazole capsule

Hizi apa chini zinasaidia pia cream, pia fata na ushauri wa dawa za kienyeji apo juuuView attachment 1521786
IMG-20200730-WA0009.jpg
 
Pole sana kwa ugonjwa hiyo ni fungal infection imekomaa ambayo ipo skinderm, systemic

1.Ushauri vaa tait akiwa unatembea kupunguza msuguano kati ya paja na paja.... Asivae tait au chup mbichi.../QUOTE]nilienda hosp,nikapewa amox na dawa za allergy,na tube,hapo unavyoona imekauka,mwanzoni ilikuwa inatoa kama majimaji hivi...
 
nilienda hosp,nikapewa amox na dawa za allergy,na tube,hapo unavyoona imekauka,mwanzoni ilikuwa inatoa kama majimaji hivi...

Alikupaje antibiotic apo amoxicillin , ila ukimaliza dose ukikuta hamna mabadiliko unaweza tumia dawa nilizo kuandikia apo juu, tumia za kumeza pamoja na kupaka izo ukienda hospital Huwezi kupewa pamoja tunaita irrational, unanunua tu famasi

Pole sana utapona wapo wengi wanaugua kama ww na kupona
 
nilikuwa nimetokwa na kama mapunye hivi mwili mzima,baadae viligeuka vipele vyenye unyevu vinavyotoa maji,nikaenda hosp,nikapimwa magonjwa ya zina nikakutwa safi,nikapewa amoxilin,dawa ya allergy na tube ya kupaka.

Baada muda vilikauka, lakini sasa nawashwa sana,na nikijikuna naona kama panaacha alama panakuwa,peusi,nimetumia sabuni ya tetemosol na kupaka tube mbalimbali lakini wapi,cheki picha kwa ufafanuzi zaidi.

View attachment 1519746
Mkuu kabla hatujaribu kukupa jibu hiki kiungo pichani ni tako au?
 
Alikupaje antibiotic apo amoxicillin , ila ukimaliza dose ukikuta hamna mabadiliko unaweza tumia dawa nilizo kuandikia apo juu, tumia za kumeza pamoja na kupaka izo ukienda hospital Huwezi kupewa pamoja tunaita irrational, unanunua tu famasi

Pole sana utapona wapo wengi wanaugua kama ww na kupona
Asante mkuu, ntakupa feedback nikishatumia...
 
Pole sana kwa ugonjwa hiyo ni fungal infection imekomaa ambayo ipo skinderm, systemic

1.Ushauri vaa tait akiwa unatembea kupunguza msuguano kati ya paja na paja.... Asivae tait au chup mbichi..
Naomba picha ya terbinafine cream tube.
 
Nyingine hii, dawa ni moja ila kampuni tofaut ya utengenezaji, (Generic name) terbinafine hydrochloride.

IMG-20200731-WA0008.jpg
 
Ukurutu uo mzee ni ugonjwa wa ngozi nliwai paka lindolin scaboma na vidonge vya mwezi mzima nlipewa
 
Pole kiongozi..ila inaonekana una mwili mkubwa sana.m
 
Back
Top Bottom