Msaada wa Tatizo la speed ya RuNX

Msaada wa Tatizo la speed ya RuNX

STERLING2014

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
239
Reaction score
74
Nina Toyota RunX ya 2006 nilinunua kwa mtu Dar miezi minne iloyopita, niliitumia siku zote bila kujua kama ina ttzo...lkn kuna siku niliiendesha umbali mrefu kwa speed kubwa ikawa inaingiza gia na kutoa ikawa kama inapiga mateke.

Inagonga kwenye gia box. Cha ajabu aioneshi taa yoyote kwenye dash board... Msaada naambiwa tatizo itakuwa ety Control box kuna ukweli.

Naipataje wakuu kama ndo Control box
 
Nina Toyota RunX ya 2006 nilinunua kwa mtu Dar miezi minne iloyopita, niliitumia siku zote bila kujua kama ina ttzo...lkn kuna siku niliiendesha umbali mrefu kwa speed kubwa ikawa inaingiza gia na kutoa ikawa kama inapiga mateke.

Inagonga kwenye gia box. Cha ajabu aioneshi taa yoyote kwenye dash board... Msaada naambiwa tatizo itakuwa ety Control box kuna ukweli.

Naipataje wakuu kama ndo Control box
Extrovert Njoo huku kuna Gari inarusha Mateke🤣🤣🤣🤣
 
Aisee Hilo gari peleka Kwa fundi haina haja ya kupiga ramli...Hilo ni tatizo lipo kwenye gear box inawezekana ni la sikunyingi hiyo shida
Nashukuru kwa ushauri leo nimspeleka kwa fundi wa umeme wa magari, akatoa waya fulani zinazopeleka mawasiliano kwenye engine icho ki2 akijatokea... Akasema kwa sabb aijatokea ttzo itakuwa ni control box... Na kama ingetokea tena manake ishu ingekuwa gear box
 
Back
Top Bottom