Habari za wken wakuu?Jamani naombeni msaada kwa anayejua fundi ,nina camera aina ya nikon coolpix nilimuazima mtu kunirudishia nikiwasha inawaka fresh nikipiga picha inazima hapo hapo,,ina charge ya kutosha.Naomba anayeweza kunisaidia kutatua tatizo au wapi naweza kupata mtaalamu kati ya Dar,Mwanza.Arusha na Moshi ndio mikoa naweza mfikia mtaalamu please please.