Msaada wa tatizo hili lililonipata

eli_elikana

New Member
Dec 2, 2022
1
0
Natumai nyote mu wazima wa afya naombeni ushauri

"Mdomoni kumebadilika rangi na kupata utando mweupe ndani ya mdomo na ulimi wote, tumbo kuunguruma na maumivu mara mojamoja kooni na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya joints

Tatizo ni nini Jamani na suluhisho lake ni lipi?"

Naombeni ushauri tafadhali wakuu.
 
Natumai nyote mu wazima wa afya naombeni ushauri

"Mdomoni kumebadilika rangi na kupata utando mweupe ndani ya mdomo na ulimi wote, tumbo kuunguruma na maumivu mara mojamoja kooni na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya joints

Tatizo ni nini Jamani na suluhisho lake ni lipi?"

Naombeni ushauri tafadhali wakuu.
Dah! Aisee pole sana Ndugu.😱😱😱
msema kwel mpenzi wa Mungu isije ukawa umenasa nakushauri nenda
Kapime UKIMWI maana dalili zako ni za wagonjwa wenye hayo maradhi.
kisha utupe mrejesho
 
Si kila nyuchi ni ya kunyonya ndugu. Maufundi mengine yaacheni kwenye movie za ngono.

Umepatwa na oral thrush. Wahi hospitali na mwambie huyo kipapa uliemnyonya akatibiwe pia.
 
Natumai nyote mu wazima wa afya naombeni ushauri

"Mdomoni kumebadilika rangi na kupata utando mweupe ndani ya mdomo na ulimi wote, tumbo kuunguruma na maumivu mara mojamoja kooni na maumivu ya tumbo pamoja na maumivu ya joints

Tatizo ni nini Jamani na suluhisho lake ni lipi?"

Naombeni ushauri tafadhali wakuu.
Kwanza nikupe pole sana mkuu, matatizo yapo kwaajir yetu na muhimu co unareact vp.. Muhimu unayatatua vip??

i.Utakuwawa na imani gani juu ya ushauri tutakao kupa??

ii.Una uhakka sis tutakuwa tunaujua zaid huo ugonjwa wako kuptia maelzo yako tu, pasi na kukuona??. Be serious na afya yko. Nenda #MEDICAL uko ndo kuna jibu la ugonjwa wako kwa maana watakufanyia full nvestigation, that's all about.
 
Back
Top Bottom